Elimu ni Ufunguo wa Maisha

[image error]



265. Elimu ni ufunguo wa maisha. Lakini wengine funguo zao zina kutu.


Funguo zikiwa na kutu hazitafungua vizuri makufuri. Wenye funguo zenye kutu ni wababaishaji wa maisha, nami nikiwemo.

 •  0 comments  •  flag
Share on Twitter
Published on February 18, 2018 15:00
No comments have been added yet.


Kolonia Santita (Laana Ya Panthera Tigrisi)

Enock Maregesi
Riwaya ya Kiswahili ya kijasusi kutoka kwa Enock Maregesi.
Follow Enock Maregesi's blog with rss.