CS-Miami






CS-Miami ni tawi la Kolonia Santita nchini Marekani. Lina watu katika miji mikubwa 78 ya Marekani, kuanzia Miami mpaka New York – mpaka Los Angeles, California. Linaongozwa na Moreno Morales, ‘El Chupacabra’, au ‘Zimwi’, mkimbizi kutoka Meksiko anayeishi Miami kinyume cha sheria toka mwaka 1988.


 


Pichani ni jiji la Miami, Florida; na jumba la Morales lililotaifishwa na Tume ya Dunia mwaka 1993, baada ya Operation DC kukamilika rasmi jijini Oslo.


 •  0 comments  •  flag
Share on Twitter
Published on December 03, 2017 05:12
No comments have been added yet.


Kolonia Santita (Laana Ya Panthera Tigrisi)

Enock Maregesi
Riwaya ya Kiswahili ya kijasusi kutoka kwa Enock Maregesi.
Follow Enock Maregesi's blog with rss.